PICHA KALI LEO KATIKA BONGOSINGLES HIZI HAPA ZICHEKI VIZURI

WEMA, AUNT WAMWINGIZA MKENGE JB


IMEKULA kwake! Wauza nyago kwenye sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wamemuingiza mkenge staa mwenzao, kaka mkubwa Jacob Steven ‘JB’ baada kukubali mwaliko kisha kumkatalia dakika za mwisho.
Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu.

UNYAMA wa kutisha!...MUME AFYEKA NYETI (UKE) WA MKEWE

UNYAMA wa kutisha! Gasto Edward (32) amemkata mkewe Mwelu Raymond sehemu zake za siri, Risasi Jumamosi lina simulizi hii ya kusikitisha. Tukio hilo lilitanguliwa na kumpiga mkewe huyo na kipande cha nondo kichwani hali iliyosababisha apoteze fahamu papo hapo na kutekeleza azma yake.
Bwana Gasto Edward na mkewe ambaye anadaiwa kumkata nyeti zake.

Mme Wangu Anatembea na Rafiki Yangu

Jamani nisaidieni nifanyaje maana kila siku nakuta sms za mapenzi kwny simu ya mume wngu. Amemsevu rafiki yangu jina lingine baada kupiga simu nikagundua ni namba ya rafiki yangu kipenzi tena wa Karibu Kabisa, Hapa Nimekosa Pozi Kabisa sijui Nianzie wapi na Niishie wapi Kibaya zaidi nilivyozidi kuchunguza nimekuta na picha za utupu za rafiki yangu huyo kwenye simu ya mume wangu akimuonesha jinsi alivyoumbika...

NECTA Yabadilisha Viwango vya Ufaulu Form 6, DIV I Mwisho point 7


NECTA imetoa mwongozo wa matumizi ya viwango vya Ufaulu (Aprili 2014) ambao umesambwazwa katika shule zote ze sekondari kupitia kwa Maafisa Elimu wa Mikoa. Kwa mujibu wa mwongozo huo Madaraja ya ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014 yatapangwa kwa kutumia mfumo uliooneshwa kwenye ukurasa wa 8 wa mwongozo huo ambao ni:

AUNT ADAI TALAKA!

NYOTA wa sinema za Bongo asiyetabirika maisha, Aunt Ezekiel amedaiwa kudai talaka kutoka kwa ndugu wa mumewe Sunday Demonte kufuatia madai kwamba alikasirishwa na manenomaneno yao kwenye vyombo vya habari.

JOKATE AHOFIA HOMA YA DENGU

MWANAMITINDO maarufu Bongo ambaye pia ni Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Channel O cha Sauzi, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ ameweka wazi hofu aliyonayo juu ya gonjwa hatari la Homa ya Dengu ambalo limeshika kasi katika jiji la Dar es Salaam.

JACK WOLPER: SIJAWAHI KULIA KUACHWA

STAA wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa tangu aanze kujihusisha na masuala ya mapenzi hajawahi kulia.

JB ATESWA NA MAJUNGU

BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’ amenyanyua kinywa chake na kutamka kuwa anateswa na majungu katika fani hivyo angekuwa na mbadala wa kazi, angechepuka.

BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS

KWA mara nyingine, staa wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf  ‘Batuli’ amemwaga data za kimapenzi akidai hajawahi kumpenda mwanaume kama alivyompenda Nice Mohammed ‘Mtunis’.

DIAMOND APAA TENA KIMATAIFA, ACHAGULIWA KUGOMBEA TUZO ZA BET 2014

 
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amechaguliwa katika kinyang’anyiro cha tuzo za BET 2014 kwenye kipengele cha Msanii Bora wa Kimataifa Afrika zitakazotolewa Juni 29 mwaka huu huko Los Angeles nchini Marekani. Katika kipengele hicho, Diamond anakwaana na: Davido (Nigeria), Mafikizolo (Afrika Kusini), Sarkodie (Ghana), Tiwa Savage (Nigeria) na Toofan (Togo).

NGONO MWANZO MWISHO 18+:MAKAHABA WAJIUZA MITAA YA JIJI LA DAR ES SALAAM..NA HIZI NDIO SEHEMU WANAKOPATIKANA NA BEI ZAO JIONEE HAPA

NJEMBA AZAMIA MKUTANO WA UKAWA MORO, ASHUSHIWA KICHAPO KIKALI

LISSU AIBUA MAKUBWA:SEREKALI ITUELEZE KWANINI WAASISI SITA WA MUUNGANO WALIUWAWA NA KUZIKWA KABURI MOJA

Serikali imetakiwa kutoa maelezo bungeni, kuhusu sababu za kuuawa kwa waasisi sita wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar wanaodaiwa kuzikwa katika handaki moja Zanzibar.
Akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), msemaji wake, Tundu Lissu aliitaka Serikali kueleza waasisi hao walifanya makosa gani.

MWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= KWA MWANAMKE MWENZAKE ‘APEWA KICHAPO'

Umati wa watu ukiwa unashangaa kitendo cha mwanadada (kushoto mwenye kitambaa cha zambarau kichwani) aliyemkwapulia 20,000 mwenzake. 
back to top