WEMA, AUNT WAMWINGIZA MKENGE JB
IMEKULA kwake! Wauza nyago kwenye sinema
za Kibongo, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson wamemuingiza
mkenge staa mwenzao, kaka mkubwa Jacob Steven ‘JB’ baada kukubali
mwaliko kisha kumkatalia dakika za mwisho.
UNYAMA wa kutisha!...MUME AFYEKA NYETI (UKE) WA MKEWE
UNYAMA wa
kutisha! Gasto Edward (32) amemkata mkewe Mwelu Raymond sehemu zake za
siri, Risasi Jumamosi lina simulizi hii ya kusikitisha. Tukio hilo
lilitanguliwa na kumpiga mkewe huyo na kipande cha nondo kichwani hali
iliyosababisha apoteze fahamu papo hapo na kutekeleza azma yake.
Mme Wangu Anatembea na Rafiki Yangu

Jamani nisaidieni nifanyaje maana kila
siku nakuta sms za mapenzi kwny simu ya mume wngu. Amemsevu rafiki yangu
jina lingine baada kupiga simu nikagundua ni namba ya rafiki yangu
kipenzi tena wa Karibu Kabisa, Hapa Nimekosa Pozi Kabisa sijui Nianzie
wapi na Niishie wapi Kibaya zaidi nilivyozidi kuchunguza nimekuta na
picha za utupu za rafiki yangu huyo kwenye simu ya mume wangu
akimuonesha jinsi alivyoumbika...
NECTA Yabadilisha Viwango vya Ufaulu Form 6, DIV I Mwisho point 7

NECTA imetoa mwongozo wa matumizi ya
viwango vya Ufaulu (Aprili 2014) ambao umesambwazwa katika shule zote ze
sekondari kupitia kwa Maafisa Elimu wa Mikoa. Kwa mujibu wa mwongozo
huo Madaraja ya ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014 yatapangwa kwa kutumia
mfumo uliooneshwa kwenye ukurasa wa 8 wa mwongozo huo ambao ni:
AUNT ADAI TALAKA!
JOKATE AHOFIA HOMA YA DENGU
JACK WOLPER: SIJAWAHI KULIA KUACHWA
JB ATESWA NA MAJUNGU
BATULI: SIJAWAHI KUPENDA KAMA MTUNIS
DIAMOND APAA TENA KIMATAIFA, ACHAGULIWA KUGOMBEA TUZO ZA BET 2014
LISSU AIBUA MAKUBWA:SEREKALI ITUELEZE KWANINI WAASISI SITA WA MUUNGANO WALIUWAWA NA KUZIKWA KABURI MOJA
Serikali imetakiwa kutoa maelezo
bungeni, kuhusu sababu za kuuawa kwa waasisi sita wa Muungano wa
Tanganyika na Zanzibar wanaodaiwa kuzikwa katika handaki moja Zanzibar.

Akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya
Upinzani Bungeni kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano), msemaji wake, Tundu Lissu aliitaka Serikali
kueleza waasisi hao walifanya makosa gani.
MWANAMKE ALIYEMKWAPULIA 20,000/= KWA MWANAMKE MWENZAKE ‘APEWA KICHAPO'
Labels:
KIJAMII
