
Mchungaji Rwakatare acharuka Bungeni! Ngoma za Vigodoro Chanzo

UNYAMA wa kutisha!...MUME AFYEKA NYETI (UKE) WA MKEWE
UNYAMA wa
kutisha! Gasto Edward (32) amemkata mkewe Mwelu Raymond sehemu zake za
siri, Risasi Jumamosi lina simulizi hii ya kusikitisha. Tukio hilo
lilitanguliwa na kumpiga mkewe huyo na kipande cha nondo kichwani hali
iliyosababisha apoteze fahamu papo hapo na kutekeleza azma yake.
NECTA Yabadilisha Viwango vya Ufaulu Form 6, DIV I Mwisho point 7

NECTA imetoa mwongozo wa matumizi ya
viwango vya Ufaulu (Aprili 2014) ambao umesambwazwa katika shule zote ze
sekondari kupitia kwa Maafisa Elimu wa Mikoa. Kwa mujibu wa mwongozo
huo Madaraja ya ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014 yatapangwa kwa kutumia
mfumo uliooneshwa kwenye ukurasa wa 8 wa mwongozo huo ambao ni:
LISSU AIBUA MAKUBWA:SEREKALI ITUELEZE KWANINI WAASISI SITA WA MUUNGANO WALIUWAWA NA KUZIKWA KABURI MOJA
Serikali imetakiwa kutoa maelezo
bungeni, kuhusu sababu za kuuawa kwa waasisi sita wa Muungano wa
Tanganyika na Zanzibar wanaodaiwa kuzikwa katika handaki moja Zanzibar.

Akiwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya
Upinzani Bungeni kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya
Makamu wa Rais (Muungano), msemaji wake, Tundu Lissu aliitaka Serikali
kueleza waasisi hao walifanya makosa gani.
VIDOKEZO VINAVYOWEZA KUKUPA MAFANIKIO
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Limited, Dk. Reginald Mengi.
KILA mara nimekuwa nikiwaeleza watu wangu wa karibu
kuwa maisha yako ya baadaye yanaanza na kile unachokifanya leo. Kama
wewe unatamani maisha ya kitajiri, basi msingi wake unakutegemea jinsi
utakavyoanza kuujenga hivi sasa.DAKTARI MWANZA AFIA GESTI DAR
KIONGOZI CCM AUAWA KWA SHOKA!
MWILI WA BALOZI FLOSSY WAAGWA JIJINI DAR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu,Flossy Gomile-Chidyaonga.
MAJINA YA WALIOMALIZA FORM SIX MWAKA 2014 WANAOTAKIWA KWENDA KURIPOTI JESHINI KWA MAFUNZO HAYA HAPA
UTARATIBU WA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA VIJANA WA MUJIBU WA SHERIA WANAOMALIZA KIDATO CHA SITA MEI 2014.
P. DIDDY ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA CHUO KIKUU CHA HOWARD
Ni furaha tupu siku P. Diddy alipotunukiwa shahada ya heshima katika Chuo Kikuu cha Howard jana jijini Washington DC.
TGNP MTANDAO YACHAMBUA BAJETI NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi akiwasilisha mada kwa wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari jana.
HAPPY MOTHER'S DAY!
MADUKA DDC KARIAKOO YAWAKA MOTO
HII NDIO LIST MPYA YA MATAJIRI AFRIKA. WATANZANIA WAPO WANNE. ICHEKI HAPA
NI ZAIDI YA UNYAMA!!..AZALIA KWENYE NDOO, APIGWA PINGU!
MWANAMKE aliyejulikana
kwa jina la Hadija Mohammed, mkazi wa Mchikichini, Ilala jijini Dar es
Salaam amekumbana na mkono wa sheria baada ya kufanya kitendo cha
kinyama kufuatia kujifungulia kwenye ndoo kisha kichanga kukitupa
chooni.
