Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Kiongozi wa upinzani bungeni Freeman
Mbowe amekamatwa na Jeshi la polisi nchini na kwa sasa yuko chini ya
ulinzi mkali sana wa Polisi.
utaendelea kuwafahamisha wananchi kila kitakochoendelea na tunaomba
watanzania Muwe watulivu.