Bibi Kidude alipewa heshima ya pekee kwa kupata kumbukumbu ya heshima kwenye tamasha la Ziff ambalo lilifanyika Zanzibar kwa wasanii kuimba nyimbo zake kwenye stage kubwa ya ZIFF. Msanii Linah ambaye alirudia wimbo wa Yalaiti akiwa na Mwana F.A aliperform wimbo huu kwenye kumbukumbu hiyo.
Wasanii wajitolea kwenda kujenga kabuli la Bibi Kidude
Bibi Kidude alipewa heshima ya pekee kwa kupata kumbukumbu ya heshima kwenye tamasha la Ziff ambalo lilifanyika Zanzibar kwa wasanii kuimba nyimbo zake kwenye stage kubwa ya ZIFF. Msanii Linah ambaye alirudia wimbo wa Yalaiti akiwa na Mwana F.A aliperform wimbo huu kwenye kumbukumbu hiyo.