MR & MISS CBE DODOMA MWAKA HUU IMEKUWA MIYAYUSHO:



Picha hizi ni shindano la mwaka 2011

MR Cbe katikati Mudi kidauku kushoto Desderi(tini tin) & Ramadhani chengula mwenye no 20:



Mashindano ya Mr & Miss CBE yanayofanyika kila mwaka chuoni hapo kwa dhumuni  la kumpata Mr na Miss wa chuo hicho kwa kila mwaka: mwaka imeonekana kuwa tofauti kabisa kwa vile wanafunzi wa chuo hicho walikuwa wakilisubiri kwa hamu na shauku kubwa sana mashindano hayo: hivi karibuni chuon hapo walitoa matangazo kuwa wameanza kutoa form za kushiriki lakini baada ya hapo ikawa chenge na miyayusho ya kutokuwepo kabisa shindano hilo kwa mwaka huu:Rais wa chuo hicho alipoongea na bossngasa.blogspot.com alikiri kutokuwepo kwa mashindano hayo kwa mwaka huu kutokana na serikali ya wanafunzi kutokufikia muafaka na makubaliano ya mashindano hayo:
back to top