NEY WA MITEGO ASHOOT VIDEO YAKE MPYA AKIWA MAKABURINI...!!

IMG-20130115-WA005
Rapper mwenye mashairi ya utata, Ney wa Mitego hivi karibuni alikuwa location kushoot video ya ngoma yake mpya ‘Wamenichokoza’. Katika kupata kitu tofauti zaidi kwenye video hiyo, Ney ameamua kuifanyia video hiyo makaburini. Hizi ni baadhi ya picha za behind the scenes.
IMG-20130115-WA000
IMG-20130115-WA003

back to top