
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (kushoto) akimkabidhi
kikombe cha ushindi wa kwanza cha kundi la Sekta ya Mawasiliano, Mkuu wa
Vodacom Kanda ya Kati, Mruta Hamis wakati wa kilele cha maonesho ya
kilimo ya Nane Nane Nzuguni Dodoma jana.


Mkuu
wa Vodacom Kanda ya Kati, Mruta Hamis akiwa na kikombe chao cha ushindi
wa kwanza katika sekta ya mawasiliano kwenye maonesho ya kilimo ya Nane
Nane wakati wa kilele cha maadhimisho hayo kitaifa Nzuguni Dodoma jana.
(Picha na Mpigapicha wetu)