MANCHESTER UNITED WAKABIDHIWA KOMBE LA BARCLAYS PREMIER LEAGUE NA SIR ALEX FERGUSON AWAAGA MASHABIKI

Man in the middle: no surprises that Ferguson was centre of attention at the presentation
 Kocha Wa Man United Sir Alex Ferguson akiwa amemshikilia mwali Baada ya Kukabidhiwa Mwali JANA baada ya kuichapa Swansea magoli 2 na kwa 1 na kumaliza ligi kuu ya Uingereza Vizuri
 Sir Alex Ferguson akibusu kombe kwa mara ya mwisho kwenye uwanja wa Old Traford




Your turn: Ferguson hands the trophy over to his players before he gets covered in champagne
Sir Alex Ferguson ambaye hivi karibu ametangaza kustaafu kuifundisha Man U akifurahi kombe na wachezaji wa Man United mara baada ya kukabidhiwa kombe leo.
Let's get this party started: Sir Alex Ferguson lifts his 13th and final Premier League trophy


Sir Alex Ferguson akinyanyua juu kombe la ligi kuu ambalo amelichukua katika msimu wake wa mwisho wa ligi kuu ya uingereza na huu ndio msimu wa Mwisho na Kombe la Mwisho kwa Sir Alex Ferguson




 Huu ndio upendo wa dhati
Rooney
  Wayne Rooney Akishangilia huku amenyanyua Kikombe Cha Ligi Kuu ya Uingereza mara baada ya kukabidhiwa kombe lao Jana.

 Robin van Persie

What a line-up: United players wait for the trophy presentation by lapping up the cheers


Kikosi Cha Man U kikishangilia Kwa Shangwe za Kutosha Mara baada ya Kukabidhiwa Kombe lao
On the mike: Sir Alex Ferguson was visibly emotional as he addressed the crowd one final time at Old Trafford
Sir Alex Ferguson akiwaaga mashabiki wa Man U na wadau wa soka waliojitokeza kushuhudia mtanange wa Man U na Swasea ambapo Man U imemaliza ligi Vizuri kwa kuitungua Swasea Magoli 2 kwa 1 na hatimaye kukabidhiwa Kombe lao
Sign of the times: A fan spells out Fergie's name with meaning
Alama za Nyakati: Shabiki wa Man U akionyesha Jinsi Jina la Kocha Sir Alex Ferguson lilivyonyambuliwa na kutoa maana kama ambavyo linaonekana kwenye picha
back to top