Kipigo cha Arsenal cha mabao 2-0 katika Kombe la Ligi maarufu kama Capital One kutoka kwa Chelsea usiku wa jana ilikuwa ni mara ya tisa Wenger anakutana na Mourinho na kutoka kichwa chini.
Rekodi yake dhidi ya Mreno huyo inamaanisha yeye ni mnyonge: amefungwa mara tano na kutoa sare nne. Anapotokea Mourinho, Wenger ni kibonde sana.

<<KWA HABARI ZAIDI TEMBELEA FORUM YETU>>