Kesho ndio siku yenyewe ambayo wasanii waliotajwa kuwania tuzo za
mwaka huu za muziki wa Tanzania, Kilimanjaro Tanzania Music Awards, KTMA
watajua hatma yao.
Tuzo za Kili zitatolewa kesho June 8 kwenye ukumbi
wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Hizi ni picha za jinsi maandalizi
ya jukwaa na ukumbi yalipofikia.
Mafundi wa TV itakayorusha matangazo live wakiweka sawa mitambo yao
Hivi ndivyo maandalizi yanavyoendelea
Muonekano wa nje ya ukumbi
Mafundi wakiziweka sawa cranes za camera