Hivi Kuna nini siri kati ya hawa dada zetu ambao wamepata kuwa na
uhusiano na wazungu kisha mambo hayakwenda sawa wakachana na mzungu
mmoja...Huendaendelea kuwinda wazungu tu?
Na kwanini hata akipata mswahili mwenzie mapenzi hayadumu kwa muda mrefu
atarudi kwa wazungu? Na kingine swahili nao wakuona dada kashawahi kuwa
na mzungu na wao huwa kama wanampotezea ni nini behind of all this?Najiuliza sana ni kwanini....Nijuzeni basi