MWILI WA KUAMBIANA WAHIFADHIWA MUHIMBILI, VILIO VYATAWALA!

Mwili wa Marehemu Adam Kuambia uknaiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuhifadhiwa leo mchana.
Rais wa Bongo Movies, Steve Nyerere akiwa analia nje ya chumba cha maiti Muhimbuli.
Wasanii wakilia kwa uchungu nje ya chumba cha maiti katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili mchana wa leo.
back to top