MCHEZAJI WA NFL AJITANGAZA KUWA SHOGA

 
Michael Sam.
Mchezaji Michael Sam wa St. Louis Rams inayoshiriki National Footbal League (NFL) huko Marekani amekuwa mchezaji wa kwanza kujitangaza kuwa shoga kwenye mchezo huo.
Sam mwenye umri wa miaka 24 ni mzaliwa wa Galveston, Texas nchini Marekani.
back to top