TASWIRA KUTOKA MSIBANI KWA KOMBE LEO

 
 Baadhi ya wanafamilia wakiwa na nyuso za huzuni.

 
 Mke wa Marehemu, Marry Kombe akiwa na simanzi msibani.
 
 Baadhi ya waombolezaji wakipika chakula. 
Kamera za GPL leo zilikuwa msibani eneo la Mtoni Kijichi Temeke jijini Dar es Salaam kwa aliyewahi kuwa Kamanda wa Polisi Kikosi cha  Usalama Barabarani, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) mstaafu, James Kombe. Kamanda Kombe alifariki dunia jana katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu. Mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa Ijumaa Oktoba 25 mwaka huu katika Kanisa la Lutherani Msasani na baadaye kusafirishwa kuelekea Mwika mkoani Kilimanjaro kwa mazishi yatakayofanyika siku ya Jumamosi.
( GPL)
back to top