
MKALI
wa filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ ameonesha kuwa ana hofu ya
kumtangaza mchumba wake akidai anaogopa kukiuka tamaduni za Kitanzania.
“Nafikiri siyo sahihi kabisa kuanika uhusiano wa kimapenzi kwa watu mbalimbali wakati mtu huna uhakika na mpenzi uliyenaye kama atakuoa ama nini,” alisema Odama.
Jennifer Kyaka ‘Odama’.
Akizungumza na Stori, Odama alisema japo anatamani kuwa kama wasanii
wengine wanaoanika wachumba wao lakini bado anaona siyo jambo la busara
wakati hana uhakika kama aliyenaye ndiye mume wake mtarajiwa au la.“Nafikiri siyo sahihi kabisa kuanika uhusiano wa kimapenzi kwa watu mbalimbali wakati mtu huna uhakika na mpenzi uliyenaye kama atakuoa ama nini,” alisema Odama.