KUMBE MSANII DYANA NYANGE ANA MTOTO MKUBWA KABISA, AMBAYE NI SWALA TANO...!! TAZAMA PICHA HAPA AKIWA NA MWANAE. Read more: http://habarizabongo3.blogspot.com/2013/10/kumbe-msanii-dyana-nyange-ana-mtoto.html#ixzz2jCthdPIs

Huyu ndiye mtoto wa dada yake Dyana  ambaye ni swala Tano  kama unavyomwona usoni ana alama ambayo ni ushahidi tosha kuwa dogo huyu ini swala tano, na hapo anaonekana akiwa na furaha baada ya mama yake kuja kuwatembelea nyumbani kwao Mkoani Dodoma:


Na huyu ndiye dada wa Dyana  anayemfwata wakiwa katika nyuso za furaha baada ya mwanadada Dyana ambaye ni msanii wa Bongo Fleva kuwatembelea nyumbani kwao mkoani Dodoma


back to top