
“...Wale ma-(Tusi linalohusisha kiungo cha mwili) wanao post (Tusi kama la hapo mwanzo) humu...waaandike watakavyo...sio (Tusi- vitendo vibaya kwenye jamii) tuuu yan na vza yakuzunguka dunia nzima....siitaj watu ma-(Tusi kali sana)...kama
na kuboa kafe mbele....eti range nimehongwa mtasubiri sanaaaa....sina
mdaa huo sinaaa...wakukaa pemben na kumsmanga mtuuuu...wote mnao ni
disss ma-(Tusi la kumalizia sentensi)...”
Hayo ni maneno ya mwadada Irene Uwoya aliyoaandika usiku wa leo hii
kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii. Tulipoyasoma tuu,
tulishtushwa sana kwani si kawaida kwa mwanadada huyu kuandika maneno
mzito kama haya na ndipo tulipoamua kufanya utafiti yakinifu ili tujue
why??? Na haya ndo majibu ya uchunguzi wetu huu…