Leo ni siku kubwa ya msanii huyu mkali.

fid 
Ukicheki hiyo picha hapo juu sura ya mtu gani maarufu inakuja kwa haraka, kama bado haujamfahamu huyo ni Fareed Kubanda a.k.a Fid Q. Pia kama umesahau leo ni August 13 ambayo ni jina la ngoma yake aliyoimba na Juma Nature, leo pia ni siku yake ya kuzaliwa. According to Fid Q anasema kwamba hii ndiyo official picha ya birthday yake mwaka huu. Happy Birthday tajiri wa mashairi, nakutakia heri uwe pia tajiri wa miaka mingi ya kuishi hapa duniani.
back to top