AIBU: MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU AUMBUKA BAADA YA KUTUPIA PICHA YAKE YA UCHI FACEBOOK BILA KUJUA

 
Mwanafunzi   wa  chuo  kimoja  hapa  nchini  ameambulia  aibu  ya  mwaka  baada  ya  picha  zake  chafu  kuvuja katika  mtandao  wa  facebook  wakati  "akichati"  na   darling  wake.....Katika  mazungumzo  yake  na  mpenzi  wake, denti  huyo  alijikuta  akikosea  kumtumia  picha   mpenzi wake na  kujikuta   akiiweka   katika  wall  yake  huku  ikisindikizwa  na  maneno  matamu  ya  kimahaba...

"Sry kwa kuchelewa lov, netwrk inasumbua sana kutuma picha"

Ndani  ya  dakika  2, post  ya  mrembo  huyo  ilijipatia  comment kibao.Wapo  waliomkejeli  kwa  kumwambia  "Asante  love"  huku  wengine  wakimpa  matusi  ya  nguoni....

Dakika  chache  baadaye, picha  iliondolewa  na  akaifunga  account  yake....

Hili  ni  fundisho  kwa  dada  zetu  wasiojua  thamani  ya  miili  yao....

Kwa  nini  ujianike  uchi  wakati  hata  mitandao  ya  kijamii  hujui  kuitumia??

back to top