Prof Jay Ageukia Siasa, Ajiunga Chama cha Chadema leo

 
Kulikuwa na maswali mengi aliyokuwa akiuliza rapper Pro. Jay kuwa yupo chama gani cha siasa cha hapa nchini? sasa leo majibu ya maswali hayo hatimae yamepatikana ni kuwa yupo CHADEMA.....Amekabithiwa na Kadi na Sugu Mbele ya John Myinka na Viongozi wengine...

Chanzo: udakuspecally.
back to top