Picha hii ilichukuliwa na mpiga picha wakati beyonce a.k.a lady diva akiwa akipiga show......
Hii inawahusu hasa wasanii wa kibongo ambao wanaiga kila kitu...
mfano yule mwanafunzi wa chuo aliyepiga piga picha ya utupu akijifananisha na Rihanna...kwa story hiyo
Je tunajifunza nini........
Pia kunapicha nyingi za wasanii wa kibongo wanaiga mambo ya kigeni mpaka mwishowe wana dhalilika....
ANDIKA CHOCHOTE KUHUSU HII PICHA
HAPO CHINI ILI TUJIFUNZEKUTOKANA NA HII PICHA HASWA KWA WALE WANAOPENDA
KUIGA KUANZIA KWENYE MAVAZI MPAKA LIFE STYLE YAO KIUJUMLA....