MILA KUNIS ATAJWA NA JARIDA LA "FHM" KUWA NDIYE MWANAMKE MREMBO WA KWANZA KWA MWAKA WA 2013 AKIFUATIA NO.2 RIHANNA.

 Baada ya Mila Kunis kutajwa na jarida la Esquire mwaka 2012 kama "Mwanamke mrembo anaye Ishi", Mila Kunis pia ametunukiwa heshima na Jarida moja la Uingereza la FHM, kama "Mwanamke mrembo duniani" kwa mwaka wa 2013, huku namba mbili ikienda kwa Rihanna.
             Mila Kunis akiwa katika pozi linalomuonyesha muonekano wa maumbile yake halisi.
RIHANNA
back to top