OMBI: NATAFUTA MCHUMBA MWAMINIFU.....

mary ndo jina langu natokea kahama,na nina diploma, natafuta mchumba awe mkristo,mrefu, mweupe,asivute wala kunywa pombe,awe na kazi na elimu angalua
chuo kikuu,wacliana na mm kwa no.0758051743

......

mimi ni msichana mjasiri mali na pia msomi.mimi naishi arusha, ila kwa sasa nipo dar es salaam kwani ninasoma,napenda kuwa na rafiki ambaye ni msomi na
mcheshi msafi na mtafutaji.kiufupi mimi ni mchagga kwangu kabila si chagui namba zangu za simu ni 0766635368

------
 naitwa brian malembeka nipo dodoma natafuta mchumba wa kike alie serious na maisha anejua thamn ya kupendwa tutaependana nae ktk shida na raha anaejieshim mtaratibu mstaarabu alie tayar kupima sitafuti mchumba ku jishow off nahitaj wa kuwa nae maishan alie serious 0718546050 usibip sipend kubipiwa
-----
back to top