PICHA ZA ROSE NDAUKA A KU-SHOOT TV SHOW YAKE

Longtime tuli-break story ya Rose Ndauka kuwa na mpango wa kufanya TV show yake. Habari zinaendelea kwamba msanii wa filamu Tanzania maarufu kama Rose Ndauka ameshaanza ku-shoot show yake inayoenda kwa jina la The Family Tv Talk Show. Angalia picha hizi za zikimuonyesha Rose kwenye location ya show ya kwanza ambapo katika kipindi hicho mgeni ambaye alipata nafasi ya kufanya mazungumzo na mwanadada Ndauka ni msanii wa Bongo Flava maarufu kama Sam Wa Ukweli.
884382_385615404878708_242340932_o
886515_385626568210925_2034761279_o
Picha zaidi hapa

884391_385614464878802_1021822369_o 883636_385623228211259_2059086688_o 903832_385618351545080_170591466_o
back to top